Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Sunday, June 3, 2018

FURAHIA UTALII WA BIASHARA NA HUDUMA WANAZOTOA AICC

Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuzinduliwa rasmi maonyesho ya Kilimanjaro fair siku ya ijumaa, huduma nyingi zinazohusiana na utalii zinaendelea kutolewa katika viwanja vya chuo cha ushirika mkoani Kilimanjaro.

Miongoni mwa wanaotoa huduma hizo ni pamoja na AICC, wanatoa ofa ya nafasi ya kupangisha ofisi, makampuni pamoja na taasisi.

Pia kwa wastani kwa kila mita ya mraba ambayo inahusisha maji, umeme, usalama wa uhakika na usafi wa maeneo AICC wanatoa huduma hizi kwa uhakika wa hali ya juu.

Lengo kubwa la AICC kutoa huduma hizi kwa wateja wao ni ili kukuza na kutoa huduma bora za utalii wa biashara kwa wateja wa kitaifa na kimataifa kwa ajili ya maendeleo ya kitaifa, kijamii na kiuchumi.

AICC wana matarajio makubwa moja Ikiwa kuwa mfano na kuwezesha utalii wa biashara kukuza pato la Taifa.

Ndani ya viwanja vya chuo cha ushirika banda lao lipo namba N:16 unaweza kufika na kupata huduma stahiki.

              Kwa maelezo zaidi wasiliana nao
                          +255272050181 AU
                          +255272050201
              EMAIL md@aicc.co.tz
          WEBSITE  www.aicc.co.tz.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !