Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Friday, June 8, 2018

SEMINA YA MDUDU HATARI WA MIMEA SHAMBANI KIJIJI CHA CHEMBA MKOANI DODOMA



MTAALAMU WA TAASISI YA TPRI  BW.MANENO CHIDEGE AKITOA MAFUNZO KWA WANAKIJIJI WA CHEMBA  MKOANI DODOMA KUHUSU UDHIBITI WA MDUDU MWARIBIFU WA MMEA SHAMBANI AJULIKANAYE KAMA KIWAVI JESHI.

MTAALAMU WA TAASISI YA TPRI BW MANENO CHILEGE AKIWAELEKEZA WANAKIJIJI WA CHEMBA MKOANI DODOMA JINSI YA KUTUMIA MTEGO WA KUWAUA WADUDU WAHARIBIFU WA MIMEA SHAMBANI.



Shirika la viuwatilifu Tanzania TPRI wamefanya semina ya kudhibiti wadudu  waharibifu   wa mimea shambani katika kijiji cha chemba mkoani Dodoma.

Shirika hili limehakikisha wakulipa wanapata mafunzo juu yauharibifu wa mazao zaidi ya 80 ikiwemo mahindi mpunga mtama unaotokanana mdudu hatari ajulikanaye kama kiwavi jeshi

MUHINDI ULIOHARIBIWA NA MDUDU HATARI WA MIMEA AJULIKANAYE KAMA KIWAVI JESHI


Hata hivyo wamewawezesha mabwana shamba wa kijiji hicho cha chemba kufahamu jinsi ya kumdhibiti mdudu huyo kabla ya kuathiri mimea shambani

Kwa upande wake mtaalamu wa taasisi hiyo ya TPRI bw maneno chidege ameeleza juu ya utumiaji wa viuwatilifu na kuwaasa maafisa hao kuisambaza elimu walioipata kwa wakulima katika maeneo mbalimbali.

Bw chidege ametoa ushauri na kusema kuwa wakulima hao wanapaswa kutumia viuwatilifu vilivyo sajiliwa na vinavyo uwa wadudu hatari ,kudhibiti wadudu kabla hawajaingia katika mwili wa mmea ,kutumia viuwatilifu kwa muda sahihi,kuepuka mchanganyiko zaidi ya kimoja kwenye pampu ya dawa na kutembelea shamba mara kwa mara. 


No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !