Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Monday, March 12, 2018

USHUHUDA: nabii erick Elisha alivyo kufa kwa siku 5 na kwenda kufanya m...



kongamano kubwa la kinabii na kuvikwa uweza limefanyika katika ukumbi wa corrido spring hotel ndani ya siku tatu huku baadhi ya watu wakifunguliwa na kupona magonjwa yao.



kongamano hilo la kinabii lililoongozwa na mtumishi wa Mungu nabii Erick Elisha liliambatana na waimbaji mbalimbali akiwemo mwimbaji wa nyimbo za injili Goodluck Gozbet na wengine wengi huku mahubiri yakitolewa na mtumishi wa Mungu Adam Haji.



katika kongamano hilo nabii Erick alitoa ushuhuda alivyo kufa kwa siku tano na kwenda kufanya matembezi mbinguni na kusema kuwa alipata ajali ya ndege iliyopelekea kupoteza miguu yake yote na mkono wake wa kulia .



hata hivyo aliongeza kuwa Mungu alimpa kibali cha kurudi duniani huku akiwa na neema ya utajiri aliyopewa na Mungu ndani ya mguu wake wa kushoto .



nabii Erick Elisha amehitimisha kwa kuwataka waumini kupokea neema hiyo ya utajiri aliyonayo kupitia mguu wake wa kushoto kwani watu wengi wamekuwa wakimuuliza siri ya utajiri wake na kumuomba awafundishe njia za kupata fedha ili kujikimu kimaisha.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !