wadau mbalimbali wa madini mkoani arusha wamelalamikia rpoti ya tarehe 12. 10.2015 ya madini iliyoeleza takwimu mbalimbali za uuzaji wa madini ikionyesha kudumaa kwa mapato yanayopatikana kwa uzalishaji nchini kutofutisha uuzaji wa asilimia kubwa nchi kama india na kenya
Hayo yamesemwa na thomas munis ambae ni makamu mwenyekiti TAMIDA kuiomba serikali kuboresha sekta hii ili mapato yaweze kupatikana bila kusahau ajira kwa vijana
''Taarifa hii imeizalilisha nchi kwani wazalishaji ndio wanapaswa kuingiza mapato makubwa kuliko wauzaj na suala kama hili nchi kama marekaniunaweza hata kunyongwa kwani hakuna mapato mazuri kwa serikali''alisema tomas
aidha bw.tomas amemaliza kwa kuishukuru serikali na kusema maboresho katika sekta hiyo kutaleta chachu ya uchumi na soko la kudumu ndani na nje ya nchi
No comments:
Write comments