Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Tuesday, March 6, 2018

Thomas munis. Akizungumza katika mkutano wa wafanya biashara wa madin n...

wadau mbalimbali wa madini mkoani arusha wamelalamikia rpoti ya tarehe 12. 10.2015 ya madini iliyoeleza  takwimu mbalimbali za uuzaji wa madini ikionyesha kudumaa kwa mapato yanayopatikana kwa uzalishaji nchini kutofutisha uuzaji wa asilimia kubwa nchi kama india na kenya

Hayo yamesemwa na  thomas munis ambae ni makamu mwenyekiti TAMIDA kuiomba serikali kuboresha sekta hii ili mapato yaweze kupatikana bila kusahau ajira kwa vijana

''Taarifa hii imeizalilisha nchi kwani wazalishaji ndio  wanapaswa kuingiza mapato makubwa kuliko wauzaj na suala kama hili nchi kama marekaniunaweza hata kunyongwa kwani hakuna mapato mazuri kwa serikali''alisema tomas

aidha bw.tomas amemaliza kwa kuishukuru serikali na kusema maboresho katika sekta hiyo kutaleta chachu ya uchumi na soko la kudumu ndani na nje ya nchi

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !