Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Monday, March 26, 2018

MKUU WA MKOA WA ARUSHA MH.MASHAKA MRISHO GAMBO AZINDUA RASMI ZOEZI LA VITAMBULISHO VYA TAIFA



NA EUNICE ROBERT,
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh,Mashaka Mrisho Gambo,amewataka wananchi kuwa na vitambulisho vya Taifa mapema hii leo katika eneo la soko kuu mkoani Arusha.

Wakati akizindua rasmi zoezi la vitambulisho vya Taifa Mh,Gambo amesema kuwa lazima kila mtanzania awe na kitambulisho hicho kwani ndicho kitakachompelekea kufahamika kuwa yeye ni raia wa Tanzania.

Mh,Mashaka amehitimisha kwa kuwataka wananchi wote wa mkoa wa Arusha kuhakikisha wanapata vitambulisho hivyo kwani vitawasaidia kupunguza uhalifu katika jiji la Arusha


No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !