NA EUNICE ROBERT.
mkuu wa wilaya ya Arusha mh..FabianDaqaro amesema kuwa jiji la Arusha lipo salama kwa sasa lakini kuna wazushi wanaotumika na mataifa mengine ya nchi za nje kuanzisha maandamano hivyo amewataka wananchi wa mkoa wa Arusha wawakatae watu hao kama ukoma.
Ameendelea kusema kuwa mtu yoyote akiandamana itakula kwake hivyo amewataka wananchi hao kuwaacha wanaotaka kuandamana waandamane na familia zao.
hata hivyo bw.fabian ametoa onyo na kusema kuwa watu wanaotaka kuandaman waandamane wataona kitakachowatokea.
No comments:
Write comments