Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Monday, March 26, 2018

ARUSHA AKIANDAMANA MTU, IMEKULA KWAKE: MH; FABIAN DAQARO MKUU WA WILAYA ...


NA EUNICE ROBERT.
mkuu wa wilaya ya Arusha mh..FabianDaqaro amesema kuwa jiji la Arusha lipo salama kwa sasa lakini kuna wazushi wanaotumika na mataifa mengine ya nchi za nje kuanzisha maandamano hivyo amewataka wananchi wa mkoa  wa Arusha wawakatae watu hao kama ukoma.



Ameendelea kusema kuwa mtu yoyote akiandamana itakula kwake hivyo amewataka wananchi hao kuwaacha wanaotaka kuandamana waandamane na familia zao.



hata hivyo bw.fabian ametoa onyo na kusema kuwa watu wanaotaka  kuandaman waandamane wataona kitakachowatokea.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !