mwimbaji chipukizi wa nyimbo za injili miss moureen ametumbuiza katika kongamano la kinabii la kuvikwa uweza katika hotel ya corrido spring jijini Arusha.
ameimba wimbo wake wa yupo Mungu wakati waumini wakielekea kupokea neema ya utajiri kupitia mguu wa mtumishi wa Mungu nabii Erick Elisha ambaye alikufa kwa siku tano alipopata ajali ya ndege iliyosababisha kupoteza miguu yake miliwi na mkono wake mmoja .
miss Moureen amesema kuwa wimbo huu umewezeshwa na mwimbaji mwenzake Goodluck Gozbet ambaye alimsimamia kwanzia mwanzo mpaka mwisho hadi kukamilisha wimbo wake huo wa yupo Mungu.
wimbo wa miss Moureen yupo Mungu ni wimbo unaogusa maisha ya watu na kuleta faraja na amani ndani ya mioyo ya watu wa Mungu.
No comments:
Write comments