Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Monday, March 12, 2018

YUPO MUNGU;Wimbo wa injili wa moureen alioimba kwenye kongamano la kinabii lililofanyika Arusha corrido spring



mwimbaji chipukizi wa nyimbo za injili miss moureen ametumbuiza katika kongamano la kinabii la kuvikwa uweza katika hotel ya corrido spring jijini Arusha.



ameimba wimbo wake wa yupo Mungu  wakati waumini wakielekea kupokea neema ya utajiri kupitia mguu wa mtumishi wa Mungu nabii Erick Elisha ambaye alikufa kwa siku tano alipopata ajali ya ndege iliyosababisha kupoteza miguu yake miliwi na mkono wake mmoja .



miss Moureen amesema kuwa wimbo huu umewezeshwa na mwimbaji mwenzake Goodluck Gozbet ambaye alimsimamia kwanzia mwanzo mpaka mwisho hadi kukamilisha wimbo wake huo wa yupo Mungu.



wimbo wa miss Moureen yupo Mungu  ni wimbo unaogusa maisha ya watu na kuleta faraja na amani ndani ya mioyo ya watu wa Mungu.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !