Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Thursday, April 19, 2018

VIDEO YAGHARIMU MAMILIONI YA PESA



Msanii kutoka Moshi Kilimanjaro,Tivah, ametoa nyimbo mpya wiki mbili zilizopita,nyimbo  inaitwa Kokodosa amefanya na Uraniium na kumshirikisha Single Sally.

video hii imechukua wiki moja kukamilika na imefanyika Moshi kwenye pub ya black diamond na aliyesimamia show nzima namaanisha director wa video hii ni mtu mzima Hasanally ambaye anakuja kwa kasi sana mkoani Kilimanjaro.

Mikakati ya project mpya ya kutoa ngoma nyingine,new hit song imeshaanza na very soon mashabiki wa msanii mwanadada Tivah pamoja na Uranium wakae tayari kwa hit song nyingine mapema sanaa.

kwa upande wa cost amesimamia mtu mzima Uranium pamoja na Tivah bila kumsahau Single Sally na kusababisha mzigo kufika kiuhalali bila shida yoyote.

kutokana na changamoto za madancer au wachezaji kwenye ngoma hii kuchelewa kufika location,lakini mtu mzima director Hasanally aliitendea haki video huku mkali mwenyewe producer Not  akifanya yake kwa ustadi mkubwa.

mafanikio waliyoyapata tangu watoe video yao hii ya KOKODOSA wiki mbili zilizopita wamefanikiwa kufanya show tatu ambazo wamefanya vizuri na kujipatia kipato au shavu.

Big up sanaaa kwa producer Not kutoka high level studio akishirikiana na iyogo beat kwa kutengeneza kazi nzuri ambayo inaonekana hapo juu ikiwa na high quality.

video ni mpya na ni kali cha kufanya ni kuitazama video hii ili kuwapa support wasanii hawa Tivah & Uranium ft Single Sally ili waweze kufanya vizuri zaidi na zaidi.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !