Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Friday, April 27, 2018

Kesi ya lema



NA EUNICE ROBERT

Mbunge wa Arusha mjini Mh.Godbles Lema amefikishwa mahakamani kwa kesi inayomkabili kwa tuhuma ya kuzungumza dhidi ya Rais John Pombe Magufuli ya mwaka 2016 mkoani Arusha.

Akizungumza na Lens Media Tv Mh Lema amesema kuwa kesi imesikilizwa na siku ya leo shahidi mwingine alitarajiwa kufika lakini hakimu amefuta kesi hiyo kupitia kifungu kidogo cha kwanza 225 kinachotoa mamlaka ya  kujadiliana na jeshi la polisi kuhusu kesi hiyo.

Ameendelea kusema kuwa baada ya kupelekwa mahakamani hakimu mkazi sekei Arumeru amefuta kesi hiyo ambayo ilikuwa na mashahidi wa nne lakini bado upelelezi unaendelea.

Amehitimisha kwa kusema kuwa  shtaka linalomkabili  halina msingi wowote ,hivyo kesi iliyofutwa leo upelelezi wake haujakamilika.

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !