Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Wednesday, April 25, 2018

Polisi arusha waonya dhidi ya wanaotaka kuandamana tar 26/04



NA EUNICE ROBERT

Katika kuelekea sikukuu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar,jeshi la polisi mkoa wa Arusha limejipanga vizuri kuhakikisha sikukuu hiyo inafanyika kwa amani.

Akizungumza na Lens Media Tv kaimu  kamanda wa jeshi la polisi mkoni Arusha BwYusuph Ilembo amesema kuwa wanafunzi wanapaswa kusoma na kuachana na mambo ambayo yanaharibu malengo yao hivyo amewataka watii sheria za nchi ili kuepuka matatizo.

Ameongeza kwa kusema kuwa wafanyabiashara na wakulima wanapaswa kufanya shughuli za kuleta maendeleo kwenye taifa na kuachana na kufanya mambo ya kushinikizwa,hivyo watakaovunja sheria siku ya muungano watajutia.




No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !