Theme images by MichaelJay. Powered by Blogger.

Visitors

Search This Blog



Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Youtube



Flickr Images

Like us on Facebook

Instagram

Facebook

Saturday, April 14, 2018

JANI HATARI KWA MAISHA YA BINADAMU NA WANYAMA



NA EUNICE ROBERT

Bwana shamba wa ECO Bw.Biniventure ameeleza adhari za jani lijulikanalo kwa jina la gugu karoti ambalo ni hatari kwa maisha ya binadamu na wanyama mkoani Arusha.

Akizungumza na Lens Media Tv Bw.Biniventure amesema kuwa wamefanya uhamasishaji wa kuangamiza jani hilo kwani limeenea zaidi mkoa wa Arusha na  linaota maeneo ya barabarani,majumbani na mashambani.

Pia ameongeza kuwa jani hili limeua baadhi ya wanyama kata ya Terati na eneo la Tengeru,hivyo wamefanya semina  ili  kuelimisha jamii kwani wanafunzi wamekuwa wakitumia kama mafagio jambo ambalo linapelekea kudhurika kwenye mikono yao.

Hata hivyo ametoa angalizo kwa jamii kuwa jani hili ni hatari hivyo lishikwe kwa kutumia gloves ili lisishike eneo la mwili kwani ni hatari.

Kwa upande wake mfanyakazi wa ECO Bw.Daudi Lomayani amesema kuwa wamefanya semina na wageni kutoka jimbo la Florida Marekani kwa ajili ya kuwasaidia wananchi na jamii kwa ujumla ili wasiendelee kuathirika na jani hilo aina ya gugu karoti

No comments:
Write comments

Interested for our works and services?
Get more of our update !